KATIBU MKUU WA WIZARA YA MADINI AKUTANA NA MAAFISA MADINI WAKAZI WA MIKOA

Awataka kuongeza kasi katika ukusanyaji wa maduhuli, kutatua migogoro kwenye maeneo yenye uchimbaji wa madini, kudhibiti utoroshaji wa madini na kuongeza ubunifu kwenye utendaji kazi. Dodoma Desemba 13, 2023 Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Kheri Mahimbali amewataka maafisa madini wakazi wa mikoa nchini kuongeza kasi ya ukusanyaji wa maduhuli, kutatua migogoro kwenye shughuli za …

KATIBU MKUU WA WIZARA YA MADINI AKUTANA NA MAAFISA MADINI WAKAZI WA MIKOA Read More »